У нас вы можете посмотреть бесплатно Mbunge ataka sheria ya uchaguzi wa naibu meya zibadishwe ili wasishughulikiwe или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mbunge wa Viti Maalumu, Janejelly Ntate amesema utaratibu wa kuwachagua manaibu meya na manaibu wenyeviti wa kila mwaka unawafanya kuogopa kumshauri meya ama mwenyekiti anapokwenda kinyume kwa kuhofia kushughulikiwa kwenye uchaguzi. Akiuliza swali leo Jumanne Mei 28,2024, Janejerry amehoji kama Serikali haioni kuwa sheria na kanuni ya kutaka viongozi hao kuchaguliwa kila inawafanya kuhofia kushauri ipasavyo na kujiamini katika kutenda kazi. Amesema kwasababu meya au mwenyekiti wa halmashauri ikitokea ameenda kinyume naibu ataogopa kumshauri kwa kuhofia baada ya mwaka atamshughulikia na kumuondoa kwenye nafasi hiyo. Akijibu swali hilo, Naibu Waziri katika Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Dk Festo Dugange amesema sheria zilizopo zinaelekeza uchaguzi wa mwenyekiti na meya kila mwaka. Hata hivyo, amesema kuna halmashauri nyingi zinakwenda hadi miaka mitano.