У нас вы можете посмотреть бесплатно WAHAMIAJI HARAMU 234 WAFIKISHWA MAHAKAMANI HUKU 600 TAYARI WAKIWA WAMESHAHUKUMIWA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
IDARA ya Uhamiaji mkoani Tanga, imewafikisha mahakamani wahamiaji haramu wapatao 234 raia wa nchini Ethiopia walioingia nchini kinyume cha sheria kwa nyakati tofauti kuanzia Septemba mwaka huu. Sanjari na wahamiaji hao kukamatwa na kufikishwa mahakamani, wengine zaidi ya 600 wapo katika gereza Kuu la Maweni mkoani Tanga, wakitumikia vifungo na wengine wakisubiri mashauri ya kesi zao zilizopo mahakamani.