У нас вы можете посмотреть бесплатно WAZIRI ULEGA AAGIZA UJENZI WA HARAKA DARAJA LA DHARURA RUANDA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waziri wa Ujenzi, Mhe. Abdallah Ulega, ameagiza ujenzi wa haraka wa daraja la dharura katika Mto Mnywa Maji, Kijiji cha Ruanda wilayani Mbinga, ili kuepusha athari zinazoweza kujitokeza kutokana na kukatika kwa daraja lililopo sasa. Akiwa katika ziara yake mkoani Ruvuma ya kutembelea miundombinu ya barabara amesema daraja hilo ni tegemeo kubwa kwa wananchi wanaolitumia kwenda kwenye shughuli mbalimbali za kijamii.