У нас вы можете посмотреть бесплатно Mahakama kuu yaagiza kusitishwa kwa mishahara ya washauri 21 wa Rais Ruto или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mahakama kuu nchini sasa imeagiza kusitishwa kwa mishahara ya washauri 21 wa Rais William Ruto, ikiamua kuwa uteuzi wao haukuwa halali. Jaji wa mahakama kuu Bahati Mwamuye akiitaka tume ya huduma za umma kusitisha mishahara yao huku akiagiza ukaguzi kufanywa katika muda wa miezi mitatu. Washauri wa Rais wanajumuisha mwana uchumi David Ndii, mshauri wa usalama Monica Juma, mwenzake wa katiba Makau Mutua na mshauri wa maswala ya wanawake Harriet Chiggai miongoni mwa wengine