У нас вы можете посмотреть бесплатно Wanafunzi Busia wanufaika na kipindi cha 'Books Café' или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wanafunzi wa shule ya upili ya wasichana ya St.Monicah Chakol na ile ya upili ya wavulana ya Kolonya wamesema kusikiliza kipindi cha Books café kwenye redio ya KBC English service kumewapa motisha ya kujihusisha katika shughuli za uandishi kuhusu masuala mbali mbali. Wakiongea wakati wa upeperushaji wa moja kwa moja wa kipindi cha Books Café katika shule ya upili ya wasichana ya St. Monicah Chakol kaunti ya Busia wanafunzi n wasimamizi wa shule hiyo walisema kipindi hicho ambapo hupeperushwa na Khainga Okwemba saa saba alasiri kinakuza talanta miongoni mwa wanafunzi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: / kbcchannel1 Find us on Facebook: / kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #literature #BooksCafé'