У нас вы можете посмотреть бесплатно Wananchi wamtetea mwekezaji katika kisiwa cha Chole wilayani Mafia или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Siku chache baada ya mkuu wa mkoa wa Pwani Evarist Ndikilo kutangaza dhamira ya kumwondoa mwekezaji aliyetajwa kujimilikisha ardhi kinyume cha sheria katika kisiwa cha Chole wilayani Mafia wakazi wa kisiwa hicho na serikali yake wamekana kumpelekea malalamiko huku wakieleza mwekezaji huyo kuingia naye mkataba halali wa kimaendeleo ikiwemo kusomesha watoto wote wa kisiwa hicho hadi vyuo vikuu baada ya kukaa kwa miongo kadhaa bila mtu hata mmoja kisiwani humo aliyesoma shule hata ya msingi kutokana na umaskini uliopindukia.