У нас вы можете посмотреть бесплатно KANISA LAWAANGUKIA WAUMINI WAKIWA IBADANI | MMOJA AFARIKI & WATATU WAJERUHIWA | CHANZO NI MVUA KUBWA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kufuatia mvua nyingi zinazo endelea kunyesha Mkoani Katavi zimeacha simanzi na vilio mara baada ya Kanisa la Waadiventista Wasabato lililopo kata ya Ilembo mtaa wa Kilima hewa Manispaa ya Mpanda Kuanguka na kuwajeruhi waumini watatu waliokuwa ndani ya kanisa hilo huku mtu mmoja kufariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi.