У нас вы можете посмотреть бесплатно 'Waha ni Wafanyabiashara na Wana hela' - Mkuu wa Wilaya Kasulu Kigoma или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
"Uchumi wa Kasulu unategemea sana kilimo na biashara na Nature ya kabila la Waha ni wafanyabiashara na wengi wamejaaliwa kuwa na fedha. Unapozungumzia Kigoma kama mkoa na umapozungumzia 'centre' ya biashara ni Kasulu. Kwahiyo Kasulu kuna mzunguko mkubwa sana wa biashara na mzunguko mkubwa sana wa fedha zipo taarifa kwamba hata wanaofanya biashara sehemu zingine huwa wanakuja kufanya majumuisho ya biashara zao Kasulu. Unapozungumzia maendeleo ya kibiashara Kigoma huwezi kuiacha Kigoma" Mh. Col. Isaac Antony Mwakisu, Mkuu wa wilaya ya Kasulu, Kigoma.