У нас вы можете посмотреть бесплатно TUNAOMBA WILAYA HII YA TUNDURU IGAWANYWE NA KUWA WILAYA MBILI или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mbunge wa Jimbo la Tunduru kusini wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daimu Mpakate ameumba Mhe, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanania Dkt John Pombe Magufuli, kuigawa wilaya ya Tunduru na kuwa wilaya mbili za mkoa wa Ruvuma, ili kuleta utaendaji kazi mzuri utakao leta maendeleo kwa haraka katika wilaya hiyo. Mpake amesema wilaya hiyo ni kubwa kiasi kwamba silahisi kuweza kufika kila mahala kwa urahisi huku akisisitiza wameomba wilaya hiyo kuwa mkoa tangu mwaka 2014 lakini bado imekuwa ngumu.