У нас вы можете посмотреть бесплатно Uganda yajiandaa kuzalisha mafuta mwaka 2025 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Uchimbaji wa mafuta nchini Uganda unaendelea katika maeneo ya visima ya Kingfisher na Tilenga magharibi mwa nchi hiyo. Idadi ya mapipa 230,000 yanatarajiwa kuzalishwa kila siku katika maeneo hayo mawili na kutakuwepo na bomba linalosafirisha mafuta hadi nchi jirani ya Tanzania. Licha ya ukosoaji, serikali imeeleza kuwa imeshughulikia masuala yote juu ya athari za kimazingira zinazoweza kujitokeza kutokana na mradi huo.