У нас вы можете посмотреть бесплатно Lowassa: Kuna dalili za ‘udikteta’ serikali ya Magufuli Tanzania или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kiongozi wa upinzani nchini Tanzania, Edward Lowassa ameeleza wasiwasi wake kuhusu kile anachokitaja kama dalili za udikteta kwenye uongozi wa Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli. Amesema hiyo ndiyo iliyokuwa sababu ya kuanzisha kampeni ya Ukuta. Bw Lowassa aliwania urais wa Tanzania katika uchaguzi wa mwaka jana kwa tiketi ya chama cha Chadema lakini akashindwa na Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi, CCM.