У нас вы можете посмотреть бесплатно LORI LA MAFUTA LAPARAMIA MADUKA MBEYA, DEREVA ASIMULIA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
WATU wanne wamenusurika kifo jijini mbeya baada ya Lori la mafuta na gari ndogo kugongana uso kwa uso katika eneo la njia panda ya Ilomba barabara Kuu ya Tanzania na Zambia (Tanzam) usiku wa manane. Magari yaliyogongana ni Lori la mafuta lenye namba za usajili T. 720 DHV lililokuwa linavuta tela lenye namba za usajili T.520 CCY ambalo lilikuwa limesheheni lita 34,000 za mafuta ya Petroli na Dizeli na gari ndogo aina ya Toyota Carina lenye namba za Usajili T. 536 DDM.