У нас вы можете посмотреть бесплатно Rais Magufuli afurahishwa na ujezi wa mahandaki ya reli ya SGR или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Rais Dkt.John Magufuli amewataka viongozi wa mkoa wa morogoro na Wizara ya Ardhi kuhakikisha wanakomesha migogoro ya ardhi inayokwamisha maendeleo ya wananchi mkoani humo. Rais Magufuli amesema hayo akiwa ziarani mkoani huko kuweka mawe ya msingi ya jenzi wa mahandaki manne ya reli ya kisasa (SGR) yenye urefu wa kilometa 2.7 yanayojengwa wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro pamoja na ujenzi wa barabara ya Rudewa Kilosa yenye urefu wa Km 24. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: / azamtvtz ►INSTAGRAM: / azamsports2 ►TWITTER: / azamtvtz ►FACEBOOK: / azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz