У нас вы можете посмотреть бесплатно KATI YA JUMAMOSI NA JUMAPILI IPI SABATO YA KWELI?/UTATA WAIBUKA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
#SheriaYaJumapili#SundayLaw#Pope Pambano kuu la mwisho kati ya Kristo na Shetani, Wema na Uovu, Haki na Uasi itakuwa ni swala la Ibada. Kati ya ibada ya kweli na uongo. Wakati Adamu na Hawa walipoumbwa Mungu aliwapatia siku yake maalumu ya siku ya ibada. Siku ya Saba ya juma ilitengwa kando kwa matumizi ya pumziko takatifu, ibada takatifu, na pia fursa za pekee za kukutana na Mungu katika kutafakari kazi za uumbaji Wake. Baada ya dhambi kuingia Shetani naye akatengeneza ibada bandia ambayo inapingana na ile ya Mungu wa Kweli. Shetani akawapatia wanadamu sabato bandia kama siku ya ibada ambayo haiwezi kuwapatia wanadamu pumziko la kweli wala ibada takatifu kwani mawazo ya watu yanakuwa yamejawa na miadi ya kuwa mara baada ya kumaliza ibada kwenda katika shughuli za maisha.