У нас вы можете посмотреть бесплатно Kocha Mtibwa Sugar asema hawana hofu na KMC или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
KMC vs MTIBWA SUGAR: Kocha wa Mtibwa Sugar, Yusuf Chipo anasema kesho wanatarajia kuwa na matunda mema kwenye mchezo wao wa NBC Premier League dhidi ya wenyeji wao KMC. Kocha huyo anasema wao hawana presha yoyote na wanajiamini ya kwamba kama watatekeleza yale waliyoyafanyia mazoezi, watafanikiwa. Kwa upande wa mchezaji George Chota anasema KMC ni timu nzuri ila upepo mbaya tu umewapitia na watawaendea kwa kuwaheshimu. Mechi hiyo ni saa 10:00 jioni na itakuwa LIVE #AzamSports1HD #NBCPL #NBCPremierLeague