У нас вы можете посмотреть бесплатно TUJADILIANE "Zitto Kabwe Afunguka Jijini Mwanza" или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Leo Januari 24,2018 kipindi cha majadiliano cha TUJADILIANE kinachorushwa na vyombo vya habari (Redio na TV) vinavyorusha matangazo yake kutokea Jijini Mwanza, kimezungumza na Mhe.Zitto Kabwe ambaye ni mbunge jimbo la Kigoma Mjini, Mchumi na Kiongozi wa chama (ACT Wazalendo). Mhe.Kabwe amefunguka mambo mengi kwenye kipindi hicho kinachoandaliwa na Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania UTPC ikiwemo Uchumi wa Taifa, Mstakabali wa siasa nchini, hofu ya mswada wa kuzuia mikutano ya siasa, chama na mengineyo katika mahojiano hayo yaliyoongozwa na Mtangazaji Dotto Bulendu.