У нас вы можете посмотреть бесплатно Uongozi wa kijiii wajiuzulu | Mradi kushindwa kukamilika или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wananchi wa Kijiji cha Sali kilichopo Kata ya Sali Wilayani Ulanga Mkoani Morogoro wameziomba mamlaka za serikali kuruhusu utekelezaji wa ujenzi wa mradi wa shule ya sekondari kijijini hapo. Kwa mujibu wa wananchi, kukwama kwa mradi huo kumepelekea uongozi wa Serikali ya Kijiji cha Sali kujiuzulu madarakani tangu mwaka 2021 na kupelekea shughuli za maendeleo ya kijamii ikiwemo utatuzi wa kero na kukwama. Makala ya Abel Mponela aliyepiga kambi kijijini hapo imeangazia hali ya Maisha ya wananchi kijijini hapo kwa kipindi cha miaka 3 bila uongozi wa serikali ya Kijiji na hali ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii.