У нас вы можете посмотреть бесплатно MEYA SAIDI ZAIDI AWATAKA TARURA KUCHONGA BARABARA ZILIZOHABARIBIWA NA MVUA. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Meya wa manispaa Mtwara Mikindani Mh.Saidi Zaidi amewataka Tarura Wilaya ya Mtwara kukarabati kwa haraka barabara zilizoharibiwa wakati wa mvua. Ametoa wito huo wakati alipofanya ziara ya kukagua barabara zilizohabaribiwa wakati wa mvua zilizoanza kunyesha mwanzoni mwa mwezi wa Disemba. Kwa upande wake Meneja wa Tarura Wilaya ya Mtwara Mhandisi. Hatibu Nunu ameeleza kuwa kwa sasa wapo mbioni kuanza kuchonga barabara hizo mara baada kumaliza kwa sikukuu za chrismasi na mwaka mpya.