У нас вы можете посмотреть бесплатно Darsa ya Tafsiri: شرح المصباح المنير في تهذيب تفسير ابن الكثير 🔴 LIVE Aayah 137 -138 Ust Abu Raifah или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Darsa ilifanyika Sha'bani 22, 1447H Jumanne Febuari 10, 2026 Tafsiri ya Suratul Baqarah تفسير سورة البقرة ﴾فَإِنْ آمَنُوا بِمِثْلِ مَا آمَنتُم بِهِ فَقَدِ اهْتَدَوا ۖ وَّإِن تَوَلَّوْا فَإِنَّمَا هُمْ فِي شِقَاقٍ ۖ فَسَيَكْفِيكَهُمُ اللَّـهُ ۚ وَهُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ ﴿١٣٧ "Watakapoamini kama vile mlivyoamini nyinyi, basi kwa yakini watakuwa wameongoka; na wakikengeuka, basi hakika wao wamo katika upinzani, na Allah Atakutosheleza nao, Naye ni Mwenye Kusikia yote, Mjuzi wa yote." ﴾صِبْغَةَ اللَّـهِ ۖ وَمَنْ أَحْسَنُ مِنَ اللَّـهِ صِبْغَةً ۖ وَنَحْنُ لَهُ عَابِدُونَ ﴿١٣٨ "(Swibghah (Dini) ya Allah; na dini gani yaweza kuwa bora zaidi kuliko Dini ya Allah?! Na sisi ni wenye kumuabudu Yeye Pekee."