У нас вы можете посмотреть бесплатно Chef d'Entité wa Nord-Kivu aweka jiwe la msingi la ujenzi wa msikiti mkubwa Munigi OPRP или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Chef d'Entitté Islamique du Nord-Kivu, sheikh Moussa Ahmad Mabange aliweka jiwe la msingi la ujenzi wa msikiti mkubwa Munigi katika tarafa la Nyiragongo jimboni Nord-Kivu. Juhudi ya waislamu wa kitongoji hiki, zimeempelekea Imam wa jimbo kuchukuwa hatua hii kubwa ya kuwaunga mkono waislamu wake na kualika waislamu ote kuwa wafadhili wa kazi hii ya Allah. Msikiti wenye mikiasi ya meta 15 kwa 20 (15/20m). Kwa uito huu wa kiongozi wa umma taasisi ya ACADI Asbl, alikuwa ya kuanza kujitoa kwa kutangaza mchango wake wa mifuko 100 ya Ciments.