• ClipSaver
  • dtub.ru
ClipSaver
Русские видео
  • Смешные видео
  • Приколы
  • Обзоры
  • Новости
  • Тесты
  • Спорт
  • Любовь
  • Музыка
  • Разное
Сейчас в тренде
  • Фейгин лайф
  • Три кота
  • Самвел адамян
  • А4 ютуб
  • скачать бит
  • гитара с нуля
Иностранные видео
  • Funny Babies
  • Funny Sports
  • Funny Animals
  • Funny Pranks
  • Funny Magic
  • Funny Vines
  • Funny Virals
  • Funny K-Pop

Wavuvi wabaki ‘dilema’ Ziwa Tanganyika likifungwa leo скачать в хорошем качестве

Wavuvi wabaki ‘dilema’ Ziwa Tanganyika likifungwa leo 1 год назад

скачать видео

скачать mp3

скачать mp4

поделиться

телефон с камерой

телефон с видео

бесплатно

загрузить,

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
Wavuvi wabaki ‘dilema’ Ziwa Tanganyika likifungwa leo
  • Поделиться ВК
  • Поделиться в ОК
  •  
  •  


Скачать видео с ютуб по ссылке или смотреть без блокировок на сайте: Wavuvi wabaki ‘dilema’ Ziwa Tanganyika likifungwa leo в качестве 4k

У нас вы можете посмотреть бесплатно Wavuvi wabaki ‘dilema’ Ziwa Tanganyika likifungwa leo или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:

  • Информация по загрузке:

Скачать mp3 с ютуба отдельным файлом. Бесплатный рингтон Wavuvi wabaki ‘dilema’ Ziwa Tanganyika likifungwa leo в формате MP3:


Если кнопки скачивания не загрузились НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru



Wavuvi wabaki ‘dilema’ Ziwa Tanganyika likifungwa leo

Baadhi ya wavuvi wa mikoa ya Rukwa, Kigoma na Katavi inayozungukwa na Ziwa Tanganyika wamesema hawajui hatma yao baada ya ziwa hilo kufungwa leo Mei 15 na kufunguliwa Agosti 15, 2024 ili kutoa nafasi kwa samaki kuzaliana. Serikali kupitia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega ilisema kufungwa kwa ziwa hilo ni Makubaliano ya kusimamisha shughuli za uvuvi kwa kipindi hicho yaliyoazimiwa katika kikao kilichofanyika mwaka 2022 kikihusisha nchi zinazozunguka ziwa hilo ambazo ni Zambia, Tanzania, Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Nchi hizo zilikubaliana kutambua zana haramu za uvuvi ili kuruhusu mazalia ya samaki kwa wingi na kudhibiti uvuvi haramu, uharibifu wa mazingira na mabadiliko ya tabia nchi kwa kulipumzisha ziwa kutokana na shughuli za uvuvi kila mwaka kuanzia Mei 15 hadi Agosti 15 kwa miaka mitatu mfululizo. Hatahivyo mwaka 2023 Serikali ilisitisha uamuzi wa kufunga ziwa hilo baada ya malalamiko ya wadau wa uvuvi kulalamikia kutoshirikishwa, lakini mapema mwaka huu ilitangaza tena uamuzi huo. Wakizungumza na Mwananchi Digital wavuvi wa ziwa hilo wamesema baada ya kufungwa ziwa hilo hali yao ya maisha itakuwa mbaya zaidi kwakuwa tayari wameshapata majanga ya mafuriko. Kiongozi wa Wavuvi Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi, Malius Kiluba amesema kikubwa kinachokithiri ziwani humo na kutakiwa kifanyiwe kazi ni uvuvi haramu akidai hata wizara hiyo inajua lakini haijazuia badala yake imekimbilia kufunga ziwa. Mkuzaji wa viumbe maji mkoani Kigoma, Alexander Elikado amesema Samaki wataongezeka ila kwa jamii inayotegemea ziwa uchumi lazima ushuke. Akichangia taarifa ya utekelezaji wa bajeti kwa mwaka 2023/24 na makadirio ya mapato ya matumizi ya fedha ya mwaka 2024/25 ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Mbunge wa Nkasi Kaskazini (Chadema), Aida Khenani ameshauri kabla ziwa hilo halijafungwa itafutwe njia ya kupambana na uvuvi haramu akidai ndio chanzo cha samaki kupungua. Ameongeza kuwa hata ugawaji vizimba unaoendelea kama mbadala wa ziwa kufungwa maandalizi yalipaswa kufanywa tangu mwaka jana akitaka elimu ya maandiko ya kuomba vizimba itolewe pamoja na kutengeneza mazingira mazuri kwa wavuvi. Ziwa Tanganyika lina ukubwa wa kilometa za mraba 32,900 huku Tanzania ikimiliki kilometa za mraba 13, 489, sawa na asilimia 41 ya ziwa lote.

Comments
  • UJENZI WA BARABARA YA LAMI KATAVI - KIGOMA WAFIKIA ASILIMIA 60 1 год назад
    UJENZI WA BARABARA YA LAMI KATAVI - KIGOMA WAFIKIA ASILIMIA 60
    Опубликовано: 1 год назад
  • Serikali yazidi kuongeza  Barabara za lami  Kigoma. 2 года назад
    Serikali yazidi kuongeza Barabara za lami Kigoma.
    Опубликовано: 2 года назад
  • Ulega akimuonyesha Rais Samia samaki wanaoelekea kupotea ziwa Victoria, 1 год назад
    Ulega akimuonyesha Rais Samia samaki wanaoelekea kupotea ziwa Victoria, " Tunatakiwa kuwalinda"
    Опубликовано: 1 год назад
  • BANDARI YA KAREMA YAANZA KWA KISHINDO KIKUBWA, DC BUSWELU ASHUHUDIA USAFIRISHAJI WA MAKAA YA MAWE. 1 год назад
    BANDARI YA KAREMA YAANZA KWA KISHINDO KIKUBWA, DC BUSWELU ASHUHUDIA USAFIRISHAJI WA MAKAA YA MAWE.
    Опубликовано: 1 год назад
  • TAZAMA UFUNGUZI WA ZIWA TANGANYIKA, BAADA YA KUFUNGWA KWA MIEZI MITATU, WAZIRI AONGOZA ZOEZI. 1 год назад
    TAZAMA UFUNGUZI WA ZIWA TANGANYIKA, BAADA YA KUFUNGWA KWA MIEZI MITATU, WAZIRI AONGOZA ZOEZI.
    Опубликовано: 1 год назад
  • 🔴BREAKING: BOTI YAZAMA, TISA WAFARIKI DUNIA ZIWA TANGANYIKA 5 лет назад
    🔴BREAKING: BOTI YAZAMA, TISA WAFARIKI DUNIA ZIWA TANGANYIKA
    Опубликовано: 5 лет назад
  • KIGOMA IPELEKENI BURUNDI, KUKAA MPAKANI NA KUHOJIWA URAIA? - HAONGA 7 лет назад
    KIGOMA IPELEKENI BURUNDI, KUKAA MPAKANI NA KUHOJIWA URAIA? - HAONGA
    Опубликовано: 7 лет назад
  • WAVUVI SENGEREMA walia kupata hasara ya MILIONI 150 BAADA YA KUNUNUA TAA ZA KUVULIA SAMAKI 3 года назад
    WAVUVI SENGEREMA walia kupata hasara ya MILIONI 150 BAADA YA KUNUNUA TAA ZA KUVULIA SAMAKI
    Опубликовано: 3 года назад
  • UVUVI  HARAMU DAWA YAKE IMEPATIKANA - ZIWA TANGANYIKA  MKOANI KATAVI 5 лет назад
    UVUVI HARAMU DAWA YAKE IMEPATIKANA - ZIWA TANGANYIKA MKOANI KATAVI
    Опубликовано: 5 лет назад
  • Wavuvi, wadau Kigoma wailalamikia Serikali kuzuia uvuvi ziwa Tanganyika 1 год назад
    Wavuvi, wadau Kigoma wailalamikia Serikali kuzuia uvuvi ziwa Tanganyika
    Опубликовано: 1 год назад
  • EATVSAA1:ASHIKILIWA KWA KUMUUA MTOTO WA JIRANI YAKE
    EATVSAA1:ASHIKILIWA KWA KUMUUA MTOTO WA JIRANI YAKE
    Опубликовано:
  • Wakimbizi wa Burundi wanaoishi Kigoma wagoma kurudi kwao 7 лет назад
    Wakimbizi wa Burundi wanaoishi Kigoma wagoma kurudi kwao
    Опубликовано: 7 лет назад
  • Waziri Ndaki atoa onyo kwa wavuvi haramu Kigoma 4 года назад
    Waziri Ndaki atoa onyo kwa wavuvi haramu Kigoma
    Опубликовано: 4 года назад
  • KISA ZIWA TANGANYIKA, MBUNGE KIGOMA MJINI AWAKA - 2 года назад
    KISA ZIWA TANGANYIKA, MBUNGE KIGOMA MJINI AWAKA - "KILA KITU MWANZA, UPENDELEO TU"...
    Опубликовано: 2 года назад
  • ZIWA TANGANYIKA LAFUNGULIWA RASMI - WAZIRI ULEGA ATOA ONYO kwa WAVUVI KIGOMA...... 1 год назад
    ZIWA TANGANYIKA LAFUNGULIWA RASMI - WAZIRI ULEGA ATOA ONYO kwa WAVUVI KIGOMA......
    Опубликовано: 1 год назад
  • Bandari ya Kigoma iliyodumu miaka 100 Ziwa Tanganyika/kuipaisha Tanzania kiuchumi 6 лет назад
    Bandari ya Kigoma iliyodumu miaka 100 Ziwa Tanganyika/kuipaisha Tanzania kiuchumi
    Опубликовано: 6 лет назад
  • ulega kigoma 3 года назад
    ulega kigoma
    Опубликовано: 3 года назад
  • Kinachoendelea ziwa Tanganyika chamsimamisha Silvia Sigula, azungumza maneno magumu Bungeni 2 года назад
    Kinachoendelea ziwa Tanganyika chamsimamisha Silvia Sigula, azungumza maneno magumu Bungeni
    Опубликовано: 2 года назад
  • BOTI  YA MIZIGO YAZAMA ZIWA TANGANYIKA ''KULIKUA NA WATU KUMI'' RPC KIGOMA 5 лет назад
    BOTI YA MIZIGO YAZAMA ZIWA TANGANYIKA ''KULIKUA NA WATU KUMI'' RPC KIGOMA
    Опубликовано: 5 лет назад
  • Chungu na tamu ongezeko la maji Ziwa Victoria, Tanganyika ||watu wakimbia makazi yao, uchumi wayumba 1 год назад
    Chungu na tamu ongezeko la maji Ziwa Victoria, Tanganyika ||watu wakimbia makazi yao, uchumi wayumba
    Опубликовано: 1 год назад

Контактный email для правообладателей: [email protected] © 2017 - 2025

Отказ от ответственности - Disclaimer Правообладателям - DMCA Условия использования сайта - TOS



Карта сайта 1 Карта сайта 2 Карта сайта 3 Карта сайта 4 Карта сайта 5