У нас вы можете посмотреть бесплатно KIKAO CHA MUFTI MKUU ZANZIBAR NA MASHEIKH KISIWANI PEMBA TAREHE 24/05/2016 - # 3 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Ujumbe wa ofisi ya Mufti wa Zanzibar umefanya ziara na kukutana na baadhi ya Masheikh Kisiwani Pemba tarehe 24/5/2016 kwa lengo la kutaka kuzungumzia hali ya sasa inayoendelea kisiwani humo ambapo baadhi ya wananchi hususiana kuuziana bidhaa na kukataa kuzikana kufuatia hali iliyotokana na uchaguzi mkuu wa Octoba 25. Ujumbe huo umefika Pemba na kuwataka Masheikh watumie taaluma yao ya dini kuwataka wananchi waondokane na hali ya kutengana, kugomeana na kuishi kama kwa amani zamani