У нас вы можете посмотреть бесплатно MZEE WA MIAKA 80 AULIWA KILIFI KWA KUDAI 300 MAUZO YA MKEKA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mzee mmoja mwenye umri wa miaka 80 ameuwawa baada ya kupigwa na kijana wa umri wa miaka 26 baad ya kudai 300 zilizotokana na mauzo ya mkeka ambao aliuziwa kijana huyo. Kwa mujibu wa ripoti ya polisi wa Gongoni, Magarini kaunti ya kilifi, mzee huyo kwa jina Charo Karisa ambaye ni mkazi wa Sosoni, alipigwa na kufariki na Hamsa Sirya nyumbani kwake, baada ya wawili hao kugombana kutokana na deni hilo. #mombasa #trending #nairobitrendingnews #news #kenya #reels