У нас вы можете посмотреть бесплатно Magonjwa 5 Makuu Yanayotibiwa na Majani ya Mpapai kwa Kuku 🐓🌿 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
🌿 Magonjwa 5 Makuu Yanayotibiwa na Majani ya Mpapai kwa Kuku 🐓 Katika video hii utakutana na siri kubwa ya majani ya mpapai ambayo wafugaji wengi hawaelezi. Utajifunza jinsi majani haya yanavyotibu na kusaidia kuku wako dhidi ya: ✅ Ndui ya kuku ✅ Kideri (Newcastle) ✅ Minyoo tumboni ✅ Kuharisha ✅ Mafua ya kuku Majani ya mpapai ni tiba ya asili, rahisi kupatikana na haina madhara. Ukiitumia mara kwa mara, utaokoa gharama za dawa za viwandani na kuku wako watakuwa na kinga bora na afya imara. 📘 Pata kitabu chetu cha Tiba Asilia kwa Kuku kwa Tsh 10,000 tu. 📲 Jiunge na kundi la wakulima wa kuku WhatsApp kwa Tsh 8,000 kila baada ya miezi 2. Mawasiliano: 0712188239 #KingoFarm #UfugajiWaKuku #TibaAsilia #MajaniYaMpapai #Kideri #Ndui #KukuWenyeAfya