У нас вы можете посмотреть бесплатно Watu wajeruhiwa kwenye mkutano wa Upinzani, Kisii или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Watu kadhaa wamejeruhiwa huku hofu ikitanda katika eneo la Keroka kaunti ya Kisii baada ya makundi mawili kukabiliana wakati wa mkutano wa kisiasa ulioandaliwa na upinzani. Aidha, gari moja liliteketezwa wakati wa matukio haya. Kwa saa kadhaa, hofu iligubika eneo hilo kabla ya mkutano huu uliokuwa umepangwa na viongozi wa upinzani waliojumuisha kinara wa DCP Rigathi Gachagua, mwenzake wa Wiper Kalonzo Musyoka na Fred Matiang'i wa Jubilee. Viongozi hawa wakilaumu serikali kwa kile wanasema ni kupanga njama ya kuvuruga mikutano yao