У нас вы можете посмотреть бесплатно FPCT AMANI CHOIR NYAKATO MWAZA (ACN)- SANDUKU LA AGANO [OFFICIAL VIDEO] или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
1SAMWELI 4:5-8 Na Sanduku la Agano la BWANA lilipo ingia Kambini, Israeli wote wakapiga kelele kwa sauti kuu, hata nchi ikavuma. Nao Wafilist waliposikia mshindo wa zile kelele, walisema, Maana yake nini mshindo wa kelele hizi kubwa katika kambi ya Waebrania? Wakatambua ya kuwa SANDUKU LA BWANA limefika kambini. Wafilisti wakaogopa maana walisema MUNGU AMEINGIA KAMBINI. ********************************* CHORASS 1 Chozi lanidondoka, Sina wa kunifuta mimi, Nalia Nalia, Hakika Nalia Nalilia Sanduku, Sanduku la Agano, Sanduku limetwaliwa hakika nalia x2 Nalia , nalia masikitiko yametanda, Kama Israeli walivyo lilia Sanduku Nalia, nalia hakika ninalia, Kama YESU alivyolia akiulilia Mji x2 VERSE 1 Chozi lanidondoka Sina wa kunifuta, Nalia nalia , Hakika Nalia Nikiitazama Dunia Ya leo, wapi inaelekea, watu, watu, watu............wamepoteza Agano x2 Chozi lanidondoka, Sina wa kunifuta, Nalia nalia , Hakika Nalia Yesu alipo ukaribia mji aliuona akaulilia laiti ungejua yakupasayo Amani, lakini yamefichwa kwako Yesu alijua, yatakayowapata, ndani ya mji ule wa Yerusalemu Kwa kutotambua Majira na Nyakati ya kujiliwa kwao Mambo mengi sana yamefichwa kwetu, Kwa sababu tumepoteza Agano, Ee MUNGU tusaidie TUREJEE AGANO. VERSE 2: Ee MUNGU tazama, Jicho langu latoa machozi, Kama Israeli Walivyolia Wakililia Sanduku. Mataifa yote sasa twaona wahangaika, wanatafuta maridhiano hawayapati, Kwa sababu Agano halipo tena wanatumia akili zao wao wenyewe, Makanisani sauti ya MUNGU haisikiki tena, Kama alivyokuwa akisema tangu zamani, watu wamepoteza Agano, Wamemsahau MUNGU wa Kweli, Watu wamejitenga na Imani, wenye kupenda Fedha, wenye kujipenda wenyewe, Ee MUNGU TUSAIDIE, Kweli inatia Huzuni, Kweli inatia huruma, watu wamepoteza Agano, wamemsahau MUNGU wa Kweli Kweli inatia Huzuni Kweli inatia huruma watu wamepoteza Agano MUNGU SIMAMA MWENYEWE. VERSE 3: Nina Kungoja BWANA, Nalitumaini Neno lako. Neno lako ndio Uzima Wangu, Ninakungoja BWANA. Tenda, Sawazisha, Ee MUNGU twakulilia, Uyafute Machozi Yetu Ili Tukae na wewe Tenda Baba, Sawazisha MUNGU Ee MUNGU twakulilia, Uyafute Machozi Yetu Ili Tukae na wewe. ................ CHORASS 2............. Ee MUNGU Baba, Tazama yanayotupata Usitusau Baba Turejeshee AGANO, Turejeshee UMOJA, UPENDO na MSHIKAMANO Tunakuomba Ee Baba, Sikia Sikia. { Sikia, Sikia, Ee BWANA Twakulilia, Inua Macho yako Ututazame } x3 ENDING- LEAD: iiiih, iiih...........uuuh........ooooh!!!! inua Macho Baba ooh! Ututazame Yahwe, Uuuuuh..................uuuh!! .................Uuuuuh uuuh............... uuuh uuuuh uuuuh, uuuuh uuuuuuuh............UTUTAZAME Sikia, Sikia...............Sikia wana wako Baba, Inua Macho yako..............UTUTAZAME. ********************************************** Written By: Jastine Ruhele Performed By: Estha Luckas Alda Nahumu Annah Kibuta Jastine Ruhele Alphonsina Prosper. Audio Capturing: World Media Studio Mwanza Mixing And Mastering: Frester's Record Dar Es Salaam. Album: SANDUKU LA AGANO. Vol: 3 Published By: Amani Choir Nyakato Mwanza Tz Email: [email protected] [email protected] Contact: +255 753 157 803 +255 762 402 196 ****************************************************