У нас вы можете посмотреть бесплатно AGANO LA SHETANI LILIVYONITESA - SIMULIZI MPYA YA MAPENZI или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
( 1—5 ) 🌹🔥 AGANO LA SHETANI LILIVYONOTESA EPSOD 1 Amakweli dunia inamengi mengine yenye maajaabu ilikuwa ni usiku mmoja nikiwa nimelala usiku nilijiona nikiwa mbali sana pamoja na watu waliovaa nguo nyeusi sikuwa naelewa tulikuwa tunfanya nini ‘Hahaha umemleta mwana wa kigo kuaangalia utwala wake ‘‘ ‘’Ndio mkuu nimemleta kumtambulisha’’ ‘’safi sana ebu nipe hiyo zana yangu’’,; alichukuwa zana moja yenyeumbo kama la pembe lenye kung’aa sana alilichukuwa na kuniweka kichwani kwangu nilikuwa sina cha kufanya mana nilikuwa sina hata nguvuvu ya kuongea wala kufanya chochote baada ya kuniweka alichukuwa kitu kama cheni yenye vifungu vingii vyenye vitambaa vya rangi nyekundu nyeusi na nyeupe walinivisha shingoni nakupita kwenye kwapa yagu ya kushoto alianza kuongea maneno nisiyoyajua huku akinizunguka na wengine wakiwa wanaitikia kwa maneno ya chini alipomaliza nilimsikia akiteta na yule mmama alienifikisha pale apokuwa sikumjua kwa sura kwa jinsi walivyovaa na kujipaka usoni vitu kama rangi hivi ‘’Huyu kijana atahitajika kesho ili tumalizie dawa iliyobaki’’ aliitikia kwa kichwa yule mmama Asubuhi nilipoamka nillihisi nimechoka sana niliondoka hadi kwa bibi yangu alieishi mbali kidogo nilipofika nilimweleza yote yalionitokea leo ‘’Mjukuu wangu beka achaa nikwambie asili ya maisha yako’’ ‘’Maisha yangu’’ nilishikwa na mshangao kwa kusikia vile ‘’Ndio maisha yako mjukuu wangu wewe ni mtot wa pekee kwa wazazi wako ambao hatuponao tena hapa duniani naimani #simulizimix #simulizizasauti #simulizizamapenzi #simulizizakusisimua #veronicasimulizi #thestorybook #simulizinasauti