У нас вы можете посмотреть бесплатно TAZAMA 'Oscar Nyerere' ALIVYOMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mchekeshaji Oscar Nyerere ambaye ni mmoja ya watu ambao wanauwezo wa kuzungumza sauti za hayati Mwalimu Julius Kambalage Nyerere amepata nafasi ya kuonesha ujuzi wake mbele ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa wakati wa ufunguzi wa maonesho ya nne ya mfuko na programu za uwezeshaji kiuchumi yaliyofunguliwa hii leo na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Mkoani Arusha.