У нас вы можете посмотреть бесплатно KILE KINACHOTARAJIWA KUTOKEA TANZANIA - NABII JAMES NYAKIA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kanisa la SOJA MEGA ONE Linaloongoza kwa maombezi, uponyaji, na mafundisho ya kiroho linapatikana MBEZI BEACH RAFIA, jijini Dar es Salaam, likiongozwa na Nabii James Nyakia. Nabii James Nyakia ni mwenye karama za kipekee kama vile: Kujua kila jambo lililotendeka katika maisha ya mwanadamu, akijua nani alifanya, lini alifanya, kwanini alifanya, na alikusudia nini katika maisha ya mtu huyo. Kufanya vipimo vya kitabibu na kuona ugonjwa wowote uliopo katika maisha ya mtu husika. Kufanya upasuaji wa kitabibu pasipo kutumia vifaa vya hospitali, bali akitumia nguvu za Roho Mtakatifu. Kujua mambo yaliyopita na yajayo kupitia nguvu za kiroho ambazo Mungu wa Mbinguni anamfunulia kupitia Roho Mtakatifu. Kwa huduma za kipekee za maombi, uponyaji, na mafundisho ya kiroho, jiunge nasi na pata nguvu ya kiroho inayoleta mabadiliko. Mawasiliano: 📞 +255 715 420 000 📞 +255 652 870 000 📧 Email: richnyakia15@gmail.com Mitandao ya Kijamii: 📱 TikTok: @online_prayer_service 📸 Instagram: @nabiijamesnyakia 📘 Facebook: Nabii James Nyakia 🌐 Facebook Page: [Nabii James Nyakia TZ]( / nabiijamesnyakiatz ) Tunakuomboleza na kukuongoza kwenye safari ya imani, afya ya kiroho na mwili!