У нас вы можете посмотреть бесплатно TAHADHARI: MADHARA YAKUCHOMOA BETRI/FUNDI AELEZA. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
‘’Kuchomoa Betri’’ ni msemo uliojipatia maarufu sana hivi sasa baada ya kutokea kwa ajali eneo la Msamvu, mkoani Morogoro Agost 10, 2019 baada ya lori la mafuta kupinduka na kuwaka moto na kusababisha zaidi ya watu 100 kupoteza maisha. Chanzo cha moto huo ni baada ya mtu mmoja alitaka kuiba betri, wakati akifanya hivyo ukazuka moto na kusababisha maafa. Msikilize fundi Gereji, Ezekiel Mafuru akielezea kitaalam kinachosababisha moto kuwaka kwenye betri.