У нас вы можете посмотреть бесплатно KUFUKUZWA KAZI WATUMISHI DARASA LA SABA, MSUKUMA ALIAMSHA DUDE или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma ametoa sharti gumu kwa serikali baada ya kusema kama aiwezi kuwarejeshe kazini watumishi wa darasa la saba walioachishwa kazi, basi iwaachishe pia ubunge wabunge walioishia elimu hiyo akiwemo yeye mwenyewe. Msukuma ameyasema hayo alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya waziri mkuu kwa mwaka wa fedha 2018/2019, mjini Dodoma leo.