У нас вы можете посмотреть бесплатно RUNGWE "MZEE WA UBWABWA" ANOGESHA SIKU YA WANAWAKE CHAUMMA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimewataka wanawake kuendelea kushikamana na kuwa imara zaidi ili kuweza kufikia malengo yao. Hayo yamesema na Makamu Mweyekiti wa Chama hicho Mh Devota Minja, wakati wa kongamano maalum lilifanyika jijini Dar es Salaaam kama sehemu ya maadhimisho ya siku hiyo. Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Hashim Rungwe ambaye ndiye aliyekuwa mgeni rasmi amewapongeza na kuwashukuru sana wanawake wa chama hicho kwa mchango wao Katika kukikuza chama.