У нас вы можете посмотреть бесплатно MELI NYINGINE KUBWA ya KIVITA ya MAREKANI KUTUA MASHARIKI ya KATI - MZOZO na IRAN UKIONGEZEKA ZAIDI или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
MELI NYINGINE KUBWA ya KIVITA ya MAREKANI KUTUA MASHARIKI ya KATI - MZOZO na IRAN UKIONGEZEKA ZAIDI 📍 IRAN @ONESMO SANGALALI - DAR CC;JUMA KAHEMELA Jeshi la Marekani limeamuru meli kubwa zaidi ya kubeba ndege duniani, USS Gerald R. Ford, kuondoka Bahari ya Caribbean na kuelekea Mashariki ya Kati, wakati Rais wa Marekani Donald Trump akifikiria uwezekano wa kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Iran. Uamuzi huo umefichuliwa na mtu anayefahamu mipango ya kijeshi, ambaye amezungumza kwa sharti la kutotajwa jina kutokana na unyeti wa taarifa hizo. Hatua hii iliripotiwa kwanza na gazeti la The New York Times, na inatarajiwa kuongeza kwa kiasi kikubwa uwepo wa kijeshi wa Marekani katika eneo hilo. ============================================================ ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx