У нас вы можете посмотреть бесплатно Zaidi ya watu 800 wameuawa Iran tangu Marekani na Israel waanzishe vita или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Katika siku ya 4 ya makabiliano yanayoshuhudiwa katika eneo la Mashariki ya Kati, Israel imetekeleza mashambulizi mapya dhidi ya Iran na vile vile katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut. Iran imeendelea kulengwa na mashambulizi - huku mji mkuu Tehran ukishuhudia mashambulizi kadhaa hii leo. Shirika moja la kutoa misaada ya kibinadamu, limesema kwamba zaidi ya watu 800 wameuawa nchini humo. #DiraYaDuniaTV