У нас вы можете посмотреть бесплатно Watu 7 waripotiwa kujeruhiwa kwenye vurugu iliyotokea mkutanoni Kitengela или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Watu saba wameripotiwa kujeruhiwa baada ya polisi kurusha vitoa machozi kwenye mkutano wa kisiasa wa mrengo wa ODM unaoongozwa na katibu mkuu Edwin Sifuna eneo la Kitengela kaunti ya Kajiado. Mkutano huu ulitatizwa kiasi kufuatia wingu la vitoa machozi huku wanasiasa waliozungumza wakielezea uungaji mkono wao kwa Sifuna kusalia Katibu mkuu. Aidha, waliendelea kurusha makali kwa wale wanasema wameuza na kuvuruga chama cha ODM.