У нас вы можете посмотреть бесплатно Marafiki Wa Batuli Watoa Bima Kwa Watoto Arusha Serikali Ya Ungana Nao или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Serikali imelipongeza kundi la marafiki wa Batuli Lililopo jijini Arusha kwa namna kundi hilo linavyo jitoa kuwasaidia watu wenye uhitaji maalumu ambao ni wazee,watoto yatima na walemavu.Pongezi hizo zilitolewa na Mkurugenzi wa Arusha DC Dr Wilson Mahera katika hafla ya utoaji wa bima ya Afya kwa watoto waishiyo kwenye Mazingira magumu iliyofanyika kaika ukumbi wa Polisi Mess .Msemaji wa kundi hilo la Marafiki wa Batuli Batuli Kisaka alishukuru uongozi wa jiji la Arusha hasa idara ya ustawi wa jamii kwa ushirikiano wanao wapatia kundi hilo.