У нас вы можете посмотреть бесплатно DCI waanzisha msako mkali wa kuwakamata wezi wa simu Nairobi или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wizi wa simu hapa Nairobi na maeneo mengine nchini umeendelea kuwa donda sugu huku simu hizo sasa idara ya DCI ikibaini kuishia nchi za Tanzania, Uganda , Rwanda na hata Burundi. Katika operesheni ya kuwanasa wahusika ,eneo la Kericho lilipatikana kuwa eneo wanalotumia sana kusafisha mfumo wa simu hizi baada ya kuibwa . Mshukiwa mmoja amekamatwa na simu zaidi ya ishirini kunaswa pamoja na vifaa vya kusafisha mfumo wa simu hizo.