У нас вы можете посмотреть бесплатно YANGA SC | Eng. Hersi Said azungumzia utekelezaji wa ahadi ya ujenzi wa uwanja wa Yanga или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
YANGA SC | YANGA SC | “Tunalo jukumu kubwa mbele yetu… utekelezaji wa ahadi ya ujenzi wa uwanja wa klabu yetu…” - Rais wa Klabu ya Yanga, Eng. Hersi Said, akizungumza kwa simu na wanachama wa klabu hiyo waliokuwa kwenye hafla fupi ya ugawaji wa vyeti vya ithibati kwa matawi ya wanachama wa klabu hiyo. Eng. Hersi amewapongeza wanachama waliohudhuria hafla hiyo iliyofanyika katika makao makuu ya klabu, Jangwani, jijini Dar es Salaam, huku akisema kuwa bado idadi ya wanachama haijafikia ukubwa wa hadhi ya klabu hiyo.