У нас вы можете посмотреть бесплатно MOTO Wateketeza Maduka 12 Singida, Timu Yaundwa Siku 7 Kutathmini, Wenyewe Walia Na Miundombinu или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mkuu wa mkoa wa Singida Halima Dendego amesema kufuatia ajali ya moto katika soko kuu mkoani humo ameunda timu itakayofanya tathmini ya hasara waliopata wafanyabiashara hao pamoja na kubaini chanzo cha moto huo huku wafanyabiashara wakililia miundombinu dhaifu ya soko hilo NB: Asante kwa kuendendelea KUTUAMINI na KUTUFUATILIA🙏 KAJEM TV NA BLOG YETU YA KAJEMEDIA NA MITANDAO YETU YA KIJAMII ipatikanayo kama KAJEMTV. Maoni Yako ni ya msingi sana kwetu kwani KAJEM TV #Tunakuzingatia. Wasiliana nasi Sasa kupitia Namba 0626007143 na mitandao yetu ya kijamii #kajemtv #news #Tunakuzingatia #kajem Ni maduka takribani 15 yameathirika na moto huo ulianza kuwaka majira ya saa 4 kasoro usiku wa kuamkia leo, huku shughuli za biashara sokoni hapo zikiendelea katika maduka moto huo haujaathiri