У нас вы можете посмотреть бесплатно MFAHAMU DENIS NGUESSO ANAYEWANIA URAIS JAMHURI YA CONGO MARA YA NNE, BARUAN MUHUZA AELEZA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mchambuzi wa siasa za Afrika Baruan Muhuza amesema mgombea Urais wa Jamhuri ya Congo Denis Sassou Nguesso ni mwanajeshi aliyeingia madarakani kwa mapinduzi nchini humo akimpindua Pascal Lissouba ikiwa kwa sasa amejinasibu kushinda uchaguzi wa mwaka huu kwa upinzani mdogo nchini humo. Muhuza amesema hayo katika #MorningExpress akizungumzia mgombea Urais wa Jamhuri ya Congo Denis Sassou Nguesso kugombea nafai hiyo mara ya nne mfululizo. #UFMUpdates