У нас вы можете посмотреть бесплатно Waziri wa Uchukuzi aahidi paa mpya katika uwanja wa JKIA kwa muda wa wiki или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waziri wa uchukuzi Kipchumba Murkomen sasa ameahidi kuwa paa za kisasa zitawekwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta katika muda wa juma moja lijalo. Hii ni baada ya sehemu za uwanja huo kuonyeshwa zikivuja kufuatia mvua iliyonyesha jijini Nairobi. Murkomen aliyezuru uwanja huo pia amelaumu ukosefu wa miundo msingi ya kupitia maji kuwa sababu ya kufurika kwa sehemu za uwanja huu baada ya mvua kubwa kunyesha.