У нас вы можете посмотреть бесплатно Dk 06 za Moto za Mbunge Msukuma na Mbunge Mpina Leo Bungeni Dodoma. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
MUSUKUMA: DEFINITION YA KWENDA SHULE NI WIZI? MBUNGE wa Geita vijijini Joseph Musukuma leo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia ripoti ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali CAG amehoji maana ya kwenda shule ni wizi, huku akiitaka serikali ije na mkakati maalum wa wabadhirifu hasa kwa baadhi ya halmashauri hapa nchini. ==== MPINA AKIWASHA BUNGENI "KAA NA TAARIFA YAKO" MBUNGE wa Kisesa Luhaga Mpina leo Novemba 3 bungeni jijini Dodoma wakati akichangia ripoti ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali CAG ameorodhesha orodha ya viongozi waliochangia ubadhilifu katika fedha za umma kwamba wakamatwe kwa makosa ya uhujumu uchumi. ====