У нас вы можете посмотреть бесплатно Upinzani; Waokoeni vijana waliokwama Urusi или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Viongozi wa muungano wa Upinzani wanataka serikali iwarudishe nchini Wakenya waliokwama nchini Urusi. Wakiongozwa na aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua na Naibu kiongozi wa Chama cha Jubilee Fred Matiang’i, viongozi hao walionyesha wasiwasi wao kuhusu idadi inayoongezeka ya vijana waliopoteza maisha yao katika vita vinavyoendelea kati ya Urusi na Ukraine. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: / kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive