У нас вы можете посмотреть бесплатно Serikali Yaagiza Mkandarasi Aliyeishtaki Serikali Kukamatwa na Kunyang’anywa Hati ya Kusafiria или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Karatu, Arusha: Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza mkandarasi aliyeshindwa kutekeleza mradi wa umwagiliaji wa zaidi ya bilioni 21 kunyang’anywa hati ya kusafiria, huku akimuagiza Mkurugenzi wa Mashitaka kumkamata ili asitoke nchini mpaka pale atakapo rejesha fedha aliyolipwa kwa ajili ya kutekeleza mradi huo. Akiongea leo Machi 6, 2026 na wananchi wa Karatu mkoani Arusha, Nchemba amesema, licha ya mkandarasi huyo kulipwa malipo ya awali ya zaidi ya bilioni 3, ameenda kuifungulia nchi kesi ili hali ameshindwa kutekeleza mradi huo. “Ipo tabia ya wakandarasi kupewa fedha ya walipo kodi ya Watanzania na kulazimisha kulipwa kwenye akaunti zilizopo nchini kwao. Ili fedha ya walipa kodi wa Tanzania waanze kulipa madeni kule kama wanadaiwa ama kufanya kazi zingine kule nchini kwao. Hii ni dharau kwa nchi yetu, huku ni kutokuheshimu kodi za Watanzania.” Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER: / thechanzo INSTAGRAM: / thechanzo FACEBOOK: / thechanzo TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105 The Chanzo 2025 © All Rights Reserved.