У нас вы можете посмотреть бесплатно Huyu ndiye Daniel Chongolo || Nyota ya kisiasa ilianza kupanda 2016 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Hatimaye Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imejaza nafasi ya ukatibu mkuu iliyoachwa tangu Machi 26, mwaka huu, kwa kumteua Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo, kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho. Nafasi hiyo iliachwa wazi baada ya aliyekuwa akiishikilia, Dk Bashiru Ally, kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Nyota ya Chongolo kupanda kisiasa ilianza kuonekana zaidi tangu Juni 27, 2016 wakati Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli, alipowateua wakuu 100 wa wilaya na kuwafukuza kazi wakuu wawili wa mikoa. Katika uteuzi huo Chongolo aliteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido. Katika uteuzi huo, aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga Anna Kilango Malecela na mwenzake wa Mara, Magesa Mulongo walifutwa kazi. Julai 28, 2018, Chongolo alihamishwa kutoka Wilaya ya Longido kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni.