У нас вы можете посмотреть бесплатно Jussa: Sisi hatumo kwenye harakati hizi kutafutiana ulwa kama wao, tunaipigania nchi yetu Zanzibar или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Makamu mwenyekiti wa ACT Wazalendo Zanzibar Mhe. Ismail Jussa akihutubia wanachama katika mkutano wa kutoa taarifa kuhusu zoezi linaloendelea la Lusaka suluhu ya mgogoro wa kisiasa Zanzibar baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Katika mkutano huo uliofanyika kwenye ukumbi wa Majid Kiembesamaki kisiwani Unguja, Jussa na viongozi wengine wa ngazi za juu wa chama hicho walizungumza na umma. Sikiliza alichokisema katika video hii na utupe maoni yako.