У нас вы можете посмотреть бесплатно BALAA NGORONGORO! "SERIKALI IMEKATAA KUTOA HUDUMA ZA KIJAMII KAMA BARABARA ILI KUSHINIKIZA TUHAME" или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
#TANZANIA: Wananchi wa kijiji cha Endulen Wilaya ya Ngorongoro wameungana kutengeneza barabara ya kwenda shule ya sekondari ya Embarway, Wananchi hao pia wametoa kilio kuwa Serikali imekataa kutoa huduma za kijamii kama barabara kama shinikizo ili wahame. "Wakati barabara za hoteli zinajengwa, barabara zinazo hudumia jamii zimeachwa na sasa hazipitiki kabisa, watoto wa shule wakilazimika kwenda shuleni kwa miguu" - Mkazi wa Endulen Wilaya ya Ngorongo.