У нас вы можете посмотреть бесплатно WAZIRI MKUU DKT. NCHEMBA ATAKA UKAMILISHWAJI WA UJENZI WA MIRADI ILIYOSAINIWA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba ameitaka Wizara ya Ujenzi kukamilisha miradi ya ujenzi wa barabara iliyosainiwa kabla ya kuanza mipya ili kuleta tija. Akizungumza katika ziara yake wilayani Kilindi mkoani Tanga Dkt. Mwigulu amesema kukamilika kwa miradi iliyosainiwa kutaiwezesha Serikali kuwa na miradi inayotekelezeka kwa wakati na kuiwezesha Serikali kuisimamia vizuri.