У нас вы можете посмотреть бесплатно MOYO WAKO NI UDONGO UPI; MATHAYO 13:1-23 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
"Kila msikilizaji ajitathmini hali ya moyo wake mbele za Mungu" “Mbegu ni Neno la Mungu. Ndani ya kila mbegu kuna uhai wa kimungu. Neno la Mungu lina nguvu ya kubadilisha tabia na maisha.” “Mbegu ni Neno la Mungu. Ndani ya kila mbegu kuna uhai wa kimungu. Neno la Mungu lina nguvu ya kubadilisha tabia na maisha.” “Wengi hupokea injili kwa furaha, lakini hawahesabu gharama ya ufuasi wa Kristo. Majaribu yanapokuja, wanarudi nyuma.” “Upendo wa ulimwengu na tamaa ya mali hulisonga neno la Mungu mpaka haliwezi kuzaa matunda.” “Udongo mzuri ni wale wanaopokea neno kwa moyo mnyofu, wanalitunza, na kuzaa matunda kwa uvumilivu.” — Christ’s Object Lessons, uk. 58 “Tatizo siyo mbegu, tatizo ni udongo. Neno la Mungu halishindwi; kinachohitajika ni moyo uliovunjika na kunyenyekea.” — Christ’s Object Lessons, uk. 56 “Ee Mungu, uniumbie moyo safi.” – Zaburi 51:10 “Mabadiliko ya kweli hayatokei kwa juhudi za kibinadamu, bali kwa nguvu ya Roho Mtakatifu akitumia Neno la Mungu.” — Steps to Christ, uk. 18 BARIKIWA SANA USIACHE KUCOMMENTS NA LIKE HATA KUSUB