У нас вы можете посмотреть бесплатно SIKU 7 ZA KUJIANDIKISHA NA KUBORESHA DAFTARI LA WAPIGA KURA, RC CHALAMILA AFUNGUKA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam Albert Chalamila amewaomba wananchi wa mkoa huo wenye sifa ya kupiga kura kujitokeza kijiandikisha na kuboresha taarifa zao kwenye daftari la kudumu la mpiga kura. Zoezi la kubadilisha taarifa linawahusu wananchi waliobadili makazi kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine. Chalamila amesema katika zoezi hili la siku saba kuanzia leo Machi 17 hadi 23,2025 halihusishi kubadilisha kadi na iliyokuwa Tume ya Uchaguzi mwaka 2015 na 2020 kwa kadi hizo ni halali.